Kiyagara

Kiyagara kilikuwa lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia iliyozungumzwa na Wayagara katika jimbo la Queensland. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiyagara, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiyagara kiko katika kundi la Kidurubuliki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search